SHEMEJI MONICA 12

Share:

                                             


Monica akajitahidi kumchangamsha shemeji yake kwa matani ya hapa na pale ili aweze kurudi kwenye hali yake, na kwakiasi fulani akawa amefanikiwa. Lakini Monica hakuishia hapo, akaendelea na utundu mwingine ambao haukukawia kumteka James kwenye hisia za kimahaba, kila James alivyojaribu kuepuka kuelekea alikokuwa akipelekwa ndivyo Monica alivyozidisha ushawishi, na alijua fika James hakuwa na ujanja mbele yake. Ndani ya dakika chache Monica akawa ndiye bosi, James alikuwa akifuata maelekezo yake yote. Tayari Monica alikuwa amemvua fulana akaitupa mbali, kisha akaanza kutalii kwenye mwili wake kwa kutumia ncha ya ulimi wake. James alikuwa akipaparika kama vile alikuwa anachinjwa, ghafla akasikia kitu cha baridi kikigusa sikoni kwake, hapa James alijitahidi sana kujizuia asipige kelele, akajitahidi kumzuia Monica asiendelee na kile alichokuwa akikifanya lakini hakuwa hata na nguvu ya kunyanyua kijiko cha chakula, akakwama na kumuacha Monica aendelee kumsulubu atakavyo, hata hakujua saa ngapi Monica alimvua pensi aliyokuwa amevaa, alijikuta tu akivuliwa boxer na mshiranga wake ukikamatwa vizuri, kisha kupotelea kinywani mwa Monica.

Mara mlango ulafunguliwa na Paul, kaka yake James akaingia akiwa ameambatana na mwanae. Monica akaacha haraka kile alichokuwa anafanya lakini alikuwa amechelewa, kila kitu kilikuwa kimeonekana. James alikuwa katika hali mbaya zaidi maana alikuwa uchi wa mnyama, akachukua mto wa kochi na kuziba kiungo chake muhimu, kisha akabaki akiwa ametahayari, uoga ulijidhihiri machoni mwake. "James wewe ni wakunifanyia hivi?" Alihoji Paul huku akitetemeka kwa hasira, macho yake yalikuwa yanaangaza huku na huku kama ambaye alikuwa anatafuta kitu cha kumpiganacho. "Nisubiri nje Peter" alisema Paul kumwambia mwanaye ambaye alitii, kisha akavamia kistuli cha kioo ambacho kilikuwa pale sebuleni na kukirusha kwa James ambaye alikiona akakikwepa na kutoka haraka pale kwenye kochi. Paul akarudi mpaka ulipokuwa mlango, akaufunga kwa funguo na kuziweka mfukoni mwake, kisha akamrudia James. "Sasa leo tutagawana majengo ya serikali, kenge usiye na shukuruani wewe" alisema Paul akimsogelea James tayari kwa mapambano.


"Paul usifanye hivyo please, mwenye makosa ni mimi" alisema Monica huku akimvuta Paul ili asiende kumshambulia James. "Pumbavu!! Wewe ndo usiongee kitu kabisa" alisema kwa ukali Paul,huku akimnasa Monica kofi zito lililompeleka chini. "WEWE UNAFANYA MANGAPI? MBONA MIMI SISEMI?" Alihoji Monica kwa sauti ya ukali huku akilia, lakini Paul hakumsikiliza, shida yake ilikuwa James ambaye tayari alikuwa ameokota pensi yake lakini hakupata wasaa wa kuivaa, akawa anakimbianayo kuzunguka meza iliyokiwepo pale sebuleni ili kumkwepa Paul ambaye alidhamiria kumdhuru.

Wakati kukuru kakara ile ikiendelea ikasikika sauti ya mlango kugongwa, sauti ile ilizidi kupanda kadri dakika zilivyozidi kwenda. Paul akasitisha zoezi lake na kusimama akisikilizia kujaribu kujua nani alikuwa anagonga kwa kasi ile.

Monica akasogea na kuchungulia kupitia dirishani, “ni polisi” alisema kuwajuza wenzake ambao bado hawakuwa wakijua juu ya mgongaji wa mlango ule. Kimya cha ghafla kikatawala, wote walikuwa kwenye mshituko mkubwa. “MNAFUNGUA MLANGO AU TUVUNJE?” sauti kali kutoka nje ikahoji na kumgutusha Paul ambaye alitoa ufunguo mfukoni mwake na kuelekea kufungua mlango akimuachia James wasaa wa kuvaa nguo zake harakaharaka.

No comments